Bado Gea Habib anaendelea kufatilia kwa Mganga mkuu pamoja na vyanzo vingine lakini kwa sasa unaweza kuwasikiliza baadhi ya mashuhuda hapo chini.
Hadi kufikia jioni katika hospitali hiyo watu walijaa kibao kutaka kujua ni kweli tukiohilo au ni uzushi
Lakini hata hivyoinadaiwa kwamba ulikuwa ni uzushi na hakukuwa na tukio kama hilo, ila watu waliamua kuzusha kamailivyokuwa kawaida ya jiji hili.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi