Friday, October 19, 2012

EBSS yazidi kupamba moto


 Jumapili ya tarehe 15, October 2012 mshiriki mmoja wa EBSS, Linias Mhaya aliyaaga mashindano na hivyo kubaki washiriki Tisa tu. Washiriki Tisa waliobakia wamegawanywa katika makundi matatu na kila Jaji kapewa washiriki watatu watakaokuwa chini ya usimamizi wake, Majaji wanatakiwa kuwapa maelekezo kuhusu kuimba na kuwachagulia nyimbo za kuimba.
Picha zimeambatanishwa na messeji hii. Maelezo ya picha yanapatikana kwa Kiingereza na Kiswahili kwenye Word. Linki za video za EBSS za hivi karibuni zinapatikana chini ya messeji hii.





No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi