| Usione hivi, hapa kuna shehe Juma 'Mr Kupa',shekhe Idrisa Chopa wa mchoapanga na shere Alii, wakipata mlo katikauchukuaji wa filamu hiyo leo. |
| mchukuaji picha maarufu hapa jiji, Faridi Uwezo kutoka katika kampuni ya Uwezo Production |
| Mr Kupa akipitia gazeti |
| Stive Nyerere akioga pamoja na Sinta, na pembeni yake Batuli |
| Stive Nyerere na Batuli |
| Mastaa wa filamu ya Get Out ambao wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu kwenye filamu hiyo, wa kwanza kulia Shemsa Ford, Sinta na Batuli |
| Hapa ndipo tulipopimana iman kwenye mwezi huu, kidochu ninge.... |
| Faridi uwezo na Saguda wakifanya kazi |
| Sinta katika kazi mpya |
| mambo yamekuwa mambo |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi