Wednesday, July 4, 2012

Wasanii wa Bongo Movie, wampa zawadi Mama Maria Nyerere

Mwigizaji wa filamu nchini Stive Nyerere amesema kidogo anahisi faraja  baada ya kukamilisha lengo lake la kumkabidhi mama Maria Nyerere, zawadi ya Filamu ya Mwalimu Nyerere ambayo aliifanyia nyumbani kwa mwalimu Butiama. Stive anasema kufanya hivyo ni katika kumshukuru kwa msaada wake ambao alimuonyesha na kumsaidia ili kuweza kukamilisha filamu hiyo. zawadi hiyo alikabidhi nyumbani kwake Msasani siku ya jana.
Wasanii wa filamu wakiwa wamekusanyika Leaders Club  kabla ya kuelekea Msasani kwa mama Maria Nyerere



Wasanii wakiwa nyumbani kwa mama Maria Nyerere Msasani


Mama Maria Nyerere akisalimiana na Hatman kutoka Bongo Movie
Mama Maria Nyerere alipokutana na Stive Nyerereikawa full vicheko

Jb akisalimiana na mama Maria Nyerere
Ukafika muda wa kilamsanii kujitambulisha


Kisha akakabidhiwa filamu na STEPS ENTERTAIMENT
Mama Maria akiangalia Caver la filamu ya MWALIMU NYERERE

Hapa akionyesha Movies, zinazotolewa na STEPS ENTERTAIMENT

Zaidi ya filamupia walimpa zawadi ya Vitenge kutoka kwa waigizaji wa kike

Kambalage kutoka STEPS ENTERTEIMENT alimuongezea Cd zingine za filamu


Wasanii kidogo walipata kitu dawa kutoka kwa mama
Hapa akitoa shukrani zake

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi