Tuesday, July 31, 2012

Tamasha lakutafuta vipaji jumapili hii

J2 hii saa nne asubuhi mpaka kumi mchana ndani ya maisha club kutakuwa Na auditions/ usahili Wa talents mbalimbali. Kama Una kupaji cha kuimba, kucheza, kutumia ala ya muziki, sarakasi, na talent yoyote ile ambayo unaamini inatakiwa kuonekana Na kinaweza toa burudani! Fika bila kukosa- imeandaliwa Na Lamar- fishcrab Audio station, Karabani productions, Dunga- Mandugu digital, p- funk majani Na John Mahundi. Wataarifu Na wale unaoamini Wana kipaji kinachotakiwa kuonekana.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi