Saturday, June 9, 2012

50 Cent na ujio wa Thing Fall Part

Ninaposema kuigiza kazi watu wanajua masihara, hebu mwangalieni   mwanamuziki na mwigizaji wa kimarekani  50 Cent jinsi anavyozidi kupunguza uzito wake kiasi cha kufikia hatua kuwa mifupa mitupu. 50 Cent yupo katika kutengeneza filamu ya Thing Fall A part, inayomuhusu mwanafunzi na mwanasoka ambaye baadaye alikuja kugundulika na ugonjwa wa Kansa. Je sisi tunawezakuacha kazi na kufanya kazi, japo tupunguze vitambi au mashavu kwaajili ya filamu moja?
Hebu tizama picha yake ya zamani...

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi