Monday, June 4, 2012

Kilimanjaro Music Award wamalizia Tour Dar es salaam

Tuzo za Kilimanjaro Music Award 2012, ambazo zilianza tour yake mapema baada ya kupatikana kwa washindi wa  Tuzo hizo na kuanza safari ya kuwatangaza washindi hao pamoja na kutafuta vipaji vipya katika baadhi ya mikoa ya Tanzania bara. Tour hiyo imeifikia tamati katika viwanja vya Posta na Simu Kijitonyama siku ya jummosi. Wasanii mbalimbali walipanda jukwaani katika kutoa shukrani zao kwa Watanzania, ambao waliowapigia kura kwa mkoa wa Dar es salaam baada ya kufanya hivyo mikoani. Pia katika tamasha hilo ambalo ni kubwa wasanii walioshinda mikoani walipataa fulsa ya kupanda jukwaani pamoja na wasanii wakongwe,  na baadhi ya wasanii walitoka mikoa ya  Kigoma Arusha na Mwanza, pia waligewa nafasi ya kutengeneza nyimbo kutoka kwa  Producer mkali  mwaka 2012-2013 kupitia tuzo hizo Maneck wa Am Record.
Arusha Golden miongoni mwa wasanii walioshinda tuzo ya Kili

Dulla wa Planet Bongo na Sam Misago
Mnenguaji wa Twanga Pepeta
Mmoja wa wasanii aambao wanatoka mikoani.




Msanii kutoka Kigoma

Queen Darlin wa kati kati akishow Love na Bongo Unit naye ni mshindi kupitia wimbo wake Maneno maneno
Ali Kiba
Badibakule akiwa kama jembe jipya la Twanga pepeta.
Dulla
Haji Ramadhani mshindi wa Bss Second ambaye kwa sasa yupo Twanga
Isha Mashauzi
Luiza Mbutu akiwa na Dogo Rama wa Twanga Pepeta

Roma akiwa na mzee Abby Syskes baba yake mwanamuziki Dully Syskes

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi