Saturday, June 9, 2012

Ferguson ndani ya Mashujaa

Jina lake halisi ni Saul John ila anafahamika zaidi kwa jina la Ferguson. Ni repa mahili wa muziki wa dansi na ndio mtunzi wa rap ya kisigino ya Twanga pepeta kabla ya kutimkia Extra Bongo na sasa amekula shavu katika bendi tajiri hapa bongo ya Mashujaa musica.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi