|
NYOTA wa muzikiwa Bongo fleva Godpray Kweka ‘Baghdad’ siku ya jumapili ya juni 17 mwaka huu atazifungua kiu za mashabiki wake,
baada ya kupotea kwa muda mrefu jukwaani pia atatambulisha kundi lake jipya la
Wajukuu katika usiku wa leo Maisha Club.
Baghidad
alisema ingawa alikuwa kimya kwa muda
wote huo, alikuwa akitafuta ni kitu gani afanye kwaajili ya mashabiki wake
ambao siku zote wamekuwa naye pamoja.
Aliongeza
kwa kusema tamasha hilo,litasindikizwa na Fidodido, Nurudin, Mabeste, Hemed
Seleman ‘Phd’ pamoja na Chid Benzi.
“Nimejipanga
kufanya ‘Surprise’ kwa kila mtu ambaye ataudhulia tamasha hilo, kwakuwa ninamuda mrefu na
nahitaji kufanya ambayo sikuwahi kuyafanya” alisema.
|
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi