Thursday, May 17, 2012

Patrick Mafisamango afariki dunia

Mchezaji wa timu ya Simba Fc Patrick Mafisango,amefariki dunia alfajiri baada ya kupata ajali ya gari alilokua anaendesha. Mchezaji huyo ambaye ni raia wa  Rwanda mwenye asili ya Congo, alikua anakwepa baiskeli mitaa ya Chang’ombe jijini Dar es salaam na ndipo akaingia kwenye Mtaro na gari na kufariki papo hapo.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahara pema peponi ...Amen