Tuesday, May 22, 2012

Misa ya R.I.P Steven Kanumba

Siku ya jumapili wasanii walifanya misa kwaajili ya kumuombea msanii mwenzao Steven Kanumba, ambaye aliacha pengo kubwa sana kwenye tasnia hiyo.  Wasanii walianza kwanza kanisani ambapo ilisomwa misa ya waafu pia wakafika mpaka kabulini ambapo walimuombea marehemu pamoja na kupanda msalaba na kisha wakaenda kwenye kituo cha watoto yatima ambapo alitoa zawadi mbalimbali kama alivyofanya marehemu mwenyewe,mwisho walimalizia nyumbani kwake alipokuwa anaishi kwa kutoa kidogo sadaka ya chakula kwa wale waliodhuria hapo nyumbani.
 
Mtoto Sophia aliyeigiza Big Daddy akiwa na Ben ambaye aliigiza naye kama mlinzi wa nyumba yao.
 
 


Cath Rupia akitoka kwenye msongamano wa watu waliokuja kuomboleza msibani.
 

Jamila wa Bigg Daddy ambaye aliigiza kama dada wa Sophia
 
 
Jenifer akibembelezwa na mzee Chillo

 
Jenefer wa Uncle JJ