Monday, May 28, 2012

Baghidad atangaza kundi jipya la Wajukuu

Wajukuu ni kundi jipya jijini ambayo Inamahusiano ya moja kwa moja na kila moja aliye na babu au bibi duniani,  iwe ameshatangulia mbele za haki au bado yupo hai. Ila kama unavyojua hakuna jumuiya, au club isiyokuwa na wawakilishi, sasa wawakilishi wa wajukuu wanatoka sehemu tofauti tofauti, ili kuwawakilisha wajukuu kwa namna ya kipekeee.Wa kwanza ni Daudi lucas! huyu ndiye yule aaliyetambulika kama manager, au kiongozi wa zamani wa mexicana ambaye alikaimu sehemu ya mesen Selector kiongozi wa studio ya De fatality.  Baada ya kujitoa mexicana lacavela kundi ambalo liliaanda kesi dhidi ya baghdad na mwishowe wasanii wa mexicana kutokungwa mkono na  yoyote Kutoka kwa wasanii.  Mesen alitamani kurudi kundini kwa mabavu! hivyo kwa sasa Daud Lucas anawawakilisha wajukuu ili kuratibu mipango yote iliyotazamiwa na itakayotazamiwa kufanyika.   Dj Remy kwa upande wa burudani  hatutawenza  kupata shida kwa kuwa Wajukuu pia wanae muwakilishi ambaye kabla ya kupiga sahihi ya kudumu na Wajukuu Ent alikuwa nchini Uganda akiwa kama Dj wa  radio za Uganda takribani stesheni tatu  zenye majina.   Alipokuja Nchini tanzania maraa baada ya kukaa nje kwa muda mrefu ameamua kusimama kidete kuinua tasnia ya ma dj hapa nchini ili kufikia miaka 5 mbele kuwe na wimbi kubwa la ma dj kama alivyo yeye.   Watatu anafahamika kama D gold, msanii ambaye anakuja juu kwa kasi saana baada ya kuachia ngoma yake ya kwanza iitwayo tomorrow aliyofanya kwa Mesen Selector mwanzoni mwa mwaka huu.  Baada ya kuja nchini  tokea mjini kampala ambako ndiko alikuwa akifanya shughuli zake za mziki! yuko pia mjukuu wa haule mdogo wa mwisho wa profesor jay .   Piayupo  Black rhino ambae ndie aliwahi kumtabiria baghdad kuwa baghdad kabla ya kuwa Mjukuu wa lucifa, na wa mwisho huyu ni baghdad  nadhani hakuna haja ya kumuelezea sana.   Baghdady  kashakiri ya kuwa ni mjukuu wa lucifa that means yuko tayari kuipeperusha flag ya chama. saport yako ukiwa kama mwana africa mashariki unaehitaji mziki wa Afrika Mashariki utambulike dunia nzima kwa kuplay part yako.   Maendeleo yetu ni maendeleo ya Afrika Mashariki, ni maendeleo ya Afrika ni maendeleo ya mziki wa nyumbani na pia ni maendeleo yako kamaa Mjukuu!





No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi