| Mwanzmuiki Zola D amesema Show yake ya Munich nchini Ujerumani imeisha salama, huku wakipata shangwe kubwa kutoka kwa Mafans wao ambao walikuwa kwenye show hiyo. Mwanamuziki huyoambaye ameongozana na Mb Dog, amesema bado safari yao ndiyo kwanza inaanza kutokana na marajio makubwa ya kuznguka sehemu kubwa ya Ulaya, wakisaidiwa na Kampuni ya Tizo Entertainment. |