Kiongozi wa kituo hicho Alex Bwile, alisema ingawa watoto
wengi wanaofikishwa hapo, wamekuwa wanakabiliwa na kesi ya wizi, ubakaji,
ukabaji,na mauaji.
aidha amedai kwamba watuhumiwa wengi wanaowasilishwa hapo,
ni wale wa matukio ya wizi lakini wakiwa na umri wa chini ya miaka 18.
Hadi wakati wanapeleka vitu hivyo watoto waliokuwa wakituhumiwa
kwa kesi za mauaji ni wawili, na mmbakaji mmoja na wengine ambao ni wiwengi
wanatuhumiwa kwa wizi.
Baadhi ya watotowengi kati ya hao wametoka Arusha, na
wengine Mbeya.
|