| Abdul Kiba, akiwa kwenye pozi na mrembo |
| Mama Asha Baraka, mkurugenzi wa ASET Enter wamilikiwa wa Twanga Pepeta. |
| Msanii chipukizi wa muziki wa bongo fleva, Betrice aka Nabisha naye alitoka kwa mtindo wa kipeke. |
| Bibi Cheka hakuwa nyuma, naye alisogea hadi Redcapert |
| Mwanamuziki wa Mashujaa bendi Chaz Baba aka Kingunge, yeye alivua kabisa koti ili kuchambua kila kimoja kwa kile alichokivaa. |
| Mtangazaji wa Clouds Tv wa kipindi cha Ongea na Janeti, Janert akimuoji mtangazaji wa Clouds Fm Dina marious |
| Captain G Habas meneja na mume wa mwanamuziki Lady Jay Dee, akimchukulia mumewe tuzo, yeye alipiga penzi chini simple juu akamalizia na kotila suti. |
| mwanamuziki kutoka pande za Mwanza H. Baba yeye hakutaka kuangaikana suti, ila alivaa nguo ya damu ya mzee aina ya railoni, unyororo mfukoni, rozali na miwani meupe akawa amemaliza |
| Disner Martin na ndiye inasemekana ni meneja wa mwigizaji wa Movie nchini, Wema Sepetu, akiwa na mwanadada mtangazaji wa Clouds Tv Hellen Kazimoto. |
| Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Izzo B akijiweka sawa kidogo, yeye alipiga suti ya rangi kama unavyoiona. |
| mwanamuziki Jay Moe, alivaa suti nyeusi na kiatu cheusi. |
| Sureshi kutoka studio ya Mkubwa na Wanaye , Poteza Record iliyopo Temeke, naye alitinga na jeans. |
| Mfalme mzee Yusuph naye alikuwepo hapo na suti na juu akatinga na kofia ya Bongo man. |
| Kweli mkubwa ni mkubwa, alikuja na koti la gharama anaitwa Said Fella |
| Mtangazaji wa Clouds Media, Shadee, yeye akagonga bonge la mpasua wa fundi amejisahau |
| Jaffary mume wa Khadija Kopa, alipiga suti yake ya mchele mchele |