| Fundi mitambo wa Cloud Fm akiwa ndani ya wani jeusi, katika pozi la kipicha naye alikuwa akifuatilia kila jambo. |
| Hellen wa Cloud Tv, akiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi hayo |
| Ommy Dimpoz, Diamond na Jose Mara, wakijadili jambo wakati wakisubiri muda wao wa kupanda jukwaani katika mazoezi ya mwisho |
| Vifaa vilikuwa tayari kwaajili ya kupigwa na kuleta radha, safari hii Kilimanjaro hawakutaka kuchukua msanii nje wamepania kuinua vizazi vya muziki wa ndani. |
| Mpoki akiwa na Shilole Classic katika pozi la pamoja |
| Mwanamuziki Sa Raha ambaye yeye na mumewe wamepania kufanya na kuundeleza muziki wa Bongo fleva, mumewe akiwa ni Producer |
| Mkubwa Fella akifuatilia mambo yanavyo kwenda |
| Shilole Classic alianza kupiga picha za Red capert hata kabla ya kuanza kuruhusiwa |
| Suka bwana mipangomingi, akiwa kwenye pozi yeye alikuwa nje kidogo hakutaka kuingia ndani. |
| Producer kutoka Ngoma Rec, Tuddy Thomas, akiingia eneo la Tukio. |
| Ukumbi wenyewe ulikuwa hivi kwa mbali, karibu leo ili kila mmoja ashuhudie.... KIINGILIO KWA VIP sh 75000 hizi zinapatikana MLIMANI CITY , kwa mzunguko sh 20000 zinapatikana sehemu mbalimbali. |