| Mwigizaji maarufu wa filamu nchini, ambaye kwa sasa anatamba na filamu ya Big Brother Lawrence Anthon 'Makala' jana amepotea chupu chupu kufa katika ajali ya gari iliyotokea kati ya Geita na Morogoro. Mwigizaji huyo alisema ajali hiyoimesababishwa na uzembe wa madereva kwa kutaka ku over take gari lingine, hali iliyopelekea kuingia mtaloni baada ya kutaka kugongana uso kwa uso na Lory. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi