Mkali wa staili ya TAKEU, Lucas
Mkenda ‘Mr Nice’ amewaambia mashabiki wake kwamba kwa sasa yupo kwenye utawala mpya ‘Management’ ambayo itasimamia katika kuifufua staili ya TAKEU.
Mr Nice alisema kwamba mara
kwanza aliweza kukosea sababu alikuwa akifanya kazi zake bila ya Meneja, lakini
sasa yupo kkwa meneja mpya ambaye atamuongoza katika video yake anayoifanya
leo.
Alisema video hiyo huenda ikawa kali kuliko zile zilizopita, kwakuwa
hizi anafanya akiwa na ujuzi zaidi huku soko la muziki likiwa limetanuka zaidi. Hizi sasa zinasimamiwa na Duke pamoja na mkali Lamar 'Ahaaaaaaaaaaaa' toka Fish Crub Record
|