| baada ya wasanii wawili wa Anti Virus Mapacha, kushitakiwa na Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga na baadaye Kusaga mwenyewe kuamua kufuta mashitaka hayo, wasanii hao wamepanga kumfungulia mashitaka yakupotezewa muda kwaajili ya kuudhulia mahakamani. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi