Mwanamuziki na mtayarishaji wa muziki wa kizazi kipya kutoka
kundi la Off Side Trick, Said Amdani ‘Lil Gheto’, amesema hausiki za mwibia
nyimbo msanii Timbulo.
Lil Gheto amesema kwamba msanii huyo alikuja na kumuomba
amtengezee wimbo, ambapo alianza kumuelekeza ni jinsi gani wimbo huo unatakiwa
uwe.
Anasema yeye kama Prodyuza, alianza kutengeneza midundo kama
alivyoelekezwa mpaka pale, ambapo mwenye wimbo huo aliporidhika napo.
“Hata mimi alinificha suala la yeye kukopi nyimbo ya mtu,
ila nashangaa kila mmoja anasema mimi ndiye niliyeiba na kumpa yeye” alisema.
Mwanamuziki inasadikiwa ameiba wimbo huo kutoka kwa msanii X maleya na wimbo wa Tchokolo, na yeye kuugeuza
na kuita Waleo wa Kesho.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi