| Mwanamuziki aliyewahi kuvuma na track kali kama nipo Bize na nyingine nyingi, ametangaza huenda akajitoa kwenye tuzo za Kili Music Award kutokana na ubabaishaji ambao yeye ameuona. Huenda pia atakapojitoa akawa miongoni mwa wasanii waliotangaza kutoshiriki kwenye tuzo hizo kama ilivyo kwa mwanamuziki Dully Syskes, Hata hivyo waandaaji wa tuzo hizo wamesema wao malalamiko hayo ya kujitoa, huwa hawayaelewi mpaka mtu atakapoyawasiliasha kwa njia ya barua. |