Monday, September 19, 2022

SIDO wafungua milango kwa wawekezaji wa kilimo cha Nyuki


 Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa  wa Shirika la Kuhudumia viwanda vidogo (SIDO) , Stephen Bondo  amesema shirika hilo linafungua milango kwa wadau wengine wa kilimo cha nyuki kwaajili ya kuwekeza na kufanya biiashara hiyo.


Alisema hayo katika Kikao kazi  wa wadau katika sekta ya kuongeza thamani zao la asali , ambapo kilishiriki viongozi mbalimbali na wadau kutoka Tbs, TFS na Tantrade .

Lakini pia kulikuwa na wafugaji wa nyuki na wasindikaji wa asali mmoja mmoja kwaajili ya pammoja kujadili jinsi ya kuweza kutatua changamoto hizo.



Alisema kushirikiana na taasisi hiozo pamoja na wadau kwakuwa kuna mambo ya Kisela na kisheria ambazo lazima wajadiliane kwa pamoja.


No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi