Mastaa maarufu wa tamthilia ya Mabibo Mbawawa 7 (MM7) Raya ambaye amecheza kama mtoto wa waziri wa Mambo ya ndani akiwa na mpenzi wake Razack ambaye ni muhuni wa Mabibo, wakiwa kwenye moja ya eneo la Mabibo yenye Mbwawa 7 na kutambulika kama eneo la Mabwawa 7.
Mapenzi yao yakiwa bado moto moto
Mapenzi yao yakiwa bado moto moto
| (Raya na Razack, wakiwa na picha ya pamoja katika mapenzi yao) |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi