Wednesday, October 5, 2016

Prof Jay kuja Prof Jay Cup

Mbunge wa Mikumi Joseph Haule 'Prof Jay' anatarajia kuanzisha ligi ndogo wa mpira katika jimbo lake ambalo litaitwa Prof Jay Cup.
Na hivi ndivyo alivyoandika kupitia



Tumemaliza kikao kingine cha dharura na wakazi wote wa jimbo la MIKUMI wajiandae na Profesa Jay Cup 2016 Mwisho wa mwezi huu. Semeni ndiyo mzee

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi