Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue amesema
rais.John Pombe Magufuli amefuta maadhimisho ya siku ya Uhuru December 9 na
kuagiza fedha zilizopangwa kwa shughuli hiyo
zitengwe kwaajili ya kufanyia shughuli nyingine na pia akaagiza siku hiyo
kutumika kwaajili kufanya usafi nchi nzima kwaajili ya kukabiliana na ugonjwa
wa Kipindupindu.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi