Mtu mfupi zaidi Duniani Chandra Bahadur Dangi aliyeweka rekodi katika kitabu cha watu maarufu waliofanya vitu tofauti au vikubwa duniani Guinness World Record amefariki alhamisi jioni akiwa na miaka 75.
Dangi, lifariki katika hospitali ya Johnson Tropical Medical Center katika mji wa Pago Pago,, kwa ugonjwa ambao hadi sasa haujafahamika


No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi