Wakati nchini
zikingine zikiendelea kulumbana masuala ya barabara na maisha bora, nchini
China ijumaa iliyopita wamerusha kimya kimya satelaiti yao ya Gaofen-9 yenye kiwango cha juu maarufu kama
HD.
Roketi hiyo
ilirushwa saa 12;42 kwa masaa ya Beijing baadaya kutolewa
tahadhari sa 04;42 na mamlaka ya anga ya UTC huku uzinduzi huo ukisibitishwa kwamba
umefanikiwa na serikali ya nchi hiyo
kupitia kamera za CCTV
Gaofen-9 ni ya nne
kuzinduliwa kutoka katika Satelaiti nane au tisa zilizotengeneza katika
maazimio ya nchi hiyo ya kitengo cha China cha uchunguzi masuala ya Anga (CHEOS).


No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi