Saturday, December 28, 2013

Picha: Diamond afanya kweli Leaders

 
 
 Nyota wa muziki wa kizazi kipya ambaye kwa sasa anafanya vizuri, Diamond Plutnam amesema haya kuwaambia mashabiki wake wote waliofika katika tamasha hilo, siku ya X- msaa,
Napenda nimshukuru Mungu kwa,kuwezesha tamasha hili
liende vyema na salama,

sitoacha kuwashukuru watoto mliojitokeza pia

 na wazazi mlioruhusu watoto wenu kuja kwenye
 onyesho..nina mengi ya kunena kuonyesha 
shukrani zangu..ila nasema neno moja tu
...NINAWAPENDA SANAA!!!!
 
 
 
 
 
 
 

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi