Wednesday, December 4, 2013

Chozi filamu iliyokutanisha, Riyama, King Majuto na Baba Haji@ Mbavu mkononi.

 
Mchekeshaji King Majuto, anatarajia kuvunja mbavu katika filamu mpya ambayo atakutana na Haji Adam, na Riyama Ally. Filamu hiyo inayokwenda kwa jina la Chozi, hivi sasa imeshakmilika na ipo mwishoni kuingia mtamboni kwaajili ya kufanyiwa maujanja, na  makeke kwaajili ya kuingia sokoni.



 Mwigizaji katika filamu ya Chozi
Waigizaji wa filamu hiyo, Haji Adam, Riyama Ally na Cameraman Koba.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi