Bibi Harusi akiingia kwenye shughuli
Cloud 112 akiwa na Saguda
Jimmy Mafufu akiozeshwa, na hapa akishikana mkono na mdogo wa bibi Harusi
Makupa naye alishikwa mkono kuozeshwa
Steve Nyerere naye akiwa mmoja wa wahudhuliaji mkubwa wa harusi hiyo
Jacob Stephan maarufu kama Jb akiwa kwenye pozi la kucheka baada ya kufurahishwa na mwenendo wa harusi
Jb akitoa dua la pamoja
Mama Loraa akiwa na mdau
Recho Saguda akiwa na mama Odama, kwenye pozi
Issa Musa Cloud 112, akitia sahihi kwa niaba ya ushahidi wa ndoa hiyo katika cheti cha ndoa.
Wanandoa wawili,
Mama Salma Mtambo
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi