Mwigizaji wa filamu nchini Batuli, amewataka mashabiki wake kuondoa hofu kutoka na kutapaa kwa habari kwamba yeye anaugua ugonjwa wa kansa ya titi. Amesema hali yake ni nzuri na anaendelea salama na alifanyiwa operesheni nyingine tofauti na huo ugonjwa ulioandikwa humo. Hata hivyo nyota huyo amesema imemuuma sana alipopata taarifa hiyo.
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi