Ile filamu ambayo ilikuwa ikisubiriwa na watu wengi yenye histori ya Kipekee ya Fungate, imeingia sokoni hivi karibuni. Katika filamu hiyo ambayo imeongozwa na Kampuni ya CY & CL Company, imewashirikisha wasanii kibao akiwemo Liberty Msuya, Issa Mussa 'Cloud 112', Batuli na wengine kibao
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi