Pia katika kikao hicho wasanii wa muziki huo hususani kutokea Arusha, waliweza kutoa maoni yao hususani juu ya jinsi ya kupambana na uharamia, huku wakipata taarifa kutoka kwa Wanahip Hop mbalimbali kupitiakatikamtandao wa Sky, ambao nao waliweza kuelezea jinsi ya mapambano ya muziki huo unavyokwenda, hali ambayo iliwapamoyo juu ya safari ndefu wanayoelekea.
| Danny Msimamo akiimba |
| (G Solo) |
Mapacha, JCB, Saigon na wasanii wengine kibao huku biti ya muziki huo ukipigwa kwa vifaa vya asili na hatmaye kutoa muziki fulani ambao kila mtu alishangaa kuwepo kwa muziki huo. Miongoni mwa watu ambao alitokea kuukubali ni Producer mahiri hapa nchini, Lamar.
Mzee Kitime, akiandaa hutuba ambayo alitoa maelezo juu ya histori ya muziki, wapi ulipotoka na hapa ulipofikia na hatmaye yake.
J. C. B
Danny Msimamo
Director wa Asar Entertaiment, Abbas Maunda
Producer kutoka Fish Crab Record, Lamar
Mchizi Mox naye alisema doleee. bila ukucha.
Saigoni
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi