Nyota wa muziki wa kizazi kipya Ambwene Yesaya ambaye kwa sasa yupo nchini Afrika Kusini kwaajili ya kutengeneza video ya wimbo wake mpya, ameibua kidedea Tanzania katika tuzo za CHOMVA 12, ambazo zlikuwa zikifanyika nchini Afrika kusini.
AY amejinyakulia tuzo ya video bora kutoka Afrika Mashariki kwenye tuzo kubwa za Channel O, hata hivyo msanii huyo baada ya kunyakuwa tuzo hiyo, lakini hivi sasa yupo kwenye mikakati ya kutengeneza video yake hiyo ya Money.
Katika video hiyo mwanamuziki huyo amemshirikisha msanii na mtangazaji Vanessa Mdee.
AY amejinyakulia tuzo ya video bora kutoka Afrika Mashariki kwenye tuzo kubwa za Channel O, hata hivyo msanii huyo baada ya kunyakuwa tuzo hiyo, lakini hivi sasa yupo kwenye mikakati ya kutengeneza video yake hiyo ya Money.
Katika video hiyo mwanamuziki huyo amemshirikisha msanii na mtangazaji Vanessa Mdee.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi