Kampuni ya TUESDAY KIANGALA FILM & DISTRUBUTORS imeanza mikakati ya kutaka kuingiza sokoni filamu ya TATAKOA,filamu ambayo haijawahi kutekea katika utengenezaji wake. Filamu hii hakika ni miongoni mwa filamu ambazo zinaweza kuja kulitikisa jiji kutoka na madhali yake ikiwemo na kisa ambacho hakikuwahi kuandikiwa kwenye filamu yoyote.
Ni filamu ambayo imeigiziwa katika msitu mpaka, na yenye maudhui ya kutisha kutoka na kisa cha Msichana ambaye nusu nyoka nusu jini kutoka kwenye utawala wa ajabu.
Ni filamu ambayo imeigiziwa katika msitu mpaka, na yenye maudhui ya kutisha kutoka na kisa cha Msichana ambaye nusu nyoka nusu jini kutoka kwenye utawala wa ajabu.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi