Thursday, September 13, 2012

Martine angarisha Tanzania, New York

Ujumbe wa Martine kwa wapenzi wa mitindo yake, "Namshukuru Mheshimiwa Balozi Manongi na maafisa wengine wa Ubalozi wa Tanzania New York.. felt so good kwa sifa Nilizopewa na mheshimiwa Balozi, pamoja na nafasi ya kusaini kitabu cha kumbukumbu. Naipenda Tanzania nawapenda na Watanzania wenzangu"


No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi