Wednesday, July 18, 2012

Nakwenda kwa Mwanangu yaingia sokoni

Filamu ya NAKWENDA KWA MWANANGU iliyoandaliwa na kampuni ya Jerusalem ya Jacob Stephan 'Jb', ambayo amemshirikisha King Majuto chini ya Kampuni ya STEPS ENTERTAIMENT  jana imeingia sokoni. Filamu hiyo ambayo imejaa viloja na vichekesho, inataraji kufanya mambo makubwa katika tasnia hiyo ambayo watu wengin hawakutegemea.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi