Sunday, July 8, 2012

Kabla ya ushindi Bongo Movie Wabunge simba wakutana kambini

Golikipa wa wabung wa Simba na mbenge wa Kinondoni Iddi Azani na mchezaji wa timu ya Bongo Movie Seleman Barafu 'Barafu' wakiwa katika Hoteli ya Lamada pamoja na wasanii wenzao. Wasanii wa filamu 'Bongo Movie' walipata bahati ya kukakaa kambi  ya hoteli moja na wabunge wa Simba, ambao wote katika nafasi zao walitwaa ubingwa katika mechi zao. Wasanii wa Bongo Movie wao ndiyo wa kwanza kuwadhibiti wasanii wa Bongo Fleva kwa bao 1 - 2. lakini kuonyesha kwamba kambi moja ndiyo kila kitu Wabunge Simba nao waliwatwaga Wabunge Yanga bao 3 - 2.
Chuchu Hansi wa Bongo Movie,  akiwa ndani ya gari kuelekea Taifa

Hatman na Barafu wa Bongo Movie wakiwa kambini

Chiki mchoma kocha na ndiye mpaka kikosi ushindi cha Bongo Movie

Cloud 112

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwakilisha Simba kwa upande wa Wabunge akiwa kambini.

Ben Kinyaiya, Jb na Chiki wakitafakari

Vicent Kigosi, pamoja na Mr Kupa

Mr Simple akiwa na Mfufu

Kath Rupia akiwa na Maya, ndani ya gari

Rachal

safari imeanza

Bi Mwenda

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi