Saturday, June 23, 2012

Nani kasema kuigiza ni lelemama? Hebu angalia.

Mwigizaji wa filamu Mubaraka aka Muba aliamua kuaoga Hadharani,katika moja ya filamu inayokwenda kwa jina la PENZI LA KIZA ambayo alipaswa kufanya hivyo kutokana na mashariki yake kutoka kwa mganga wake. Ingawa lilikuwa bonge la kiloja mbele ya wapita njia, huenda hadi kwa waigizaji wenzake kutokana na  kuoga katika barabra ya Uhasibu, lakini kwake bora liende, na likaenda kweli... Hebu fuatilia jinsi alivyojipanga
Kidume kilivuka barabra na  maji yake.

Akatafuta sehemu nzuri ya kufanya mambo yake.

Akavua viatu, kisha akamalizia na Tai huku akiangalia noma.

Kwenye suluari kidogo, alisita.

Lakini akapiga suluari chini kwa kuanza kazi.

Akafungua vidumu vyake vya maji.

Kisha akaanza kujimiminia huku watu wakishangaa

Hana habari, akamalizia na kidumu cha pili.

Kisha akaangalia noma, ili ajue njia ya kuondokea na chupi yake.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi