Tuesday, June 12, 2012

Lulu, Kajala Wema wachuana kwenye filamu ya House Boy

Filamu ya House Boy ambayo ameshiriki mwanadada Elizaberth Michael ' Lulu', Wema Sepetu na Kajala Masanja  inatarajia kuingia sokoni hivi karibu. Filamu ya House Boy, pia inaelekea maisha ya kijana Libert, ambaye kichwa kichwa anavaana na Selemani Barafu. Ni filamu ambayo inazungumzia mapenzi, ambapo kijana Libert bila ya kutegemewa anajiona kama hana bahati kwa kuwana mikosi  kwa kutokaa kwenye nyumba za watu na kubaki kama mtu ambaye anatafuta sehemu ya kuishi mitaani, lakini hayo yote yanatokana na mapenzi kuyaweka mbele ni bonge la Movie.... litafute ujue Wema, Lulu na Kajala walivyoweza kuweka ushindani.
Wasanii Wema Sepetu, Elizaberth Michael 'Lulu'na Kajala Masanja, walivyoonyesha ushindani kwenye filamu hiyo.


Libert alipoingia mikononi mwa Barafu
Chuchu Hansi akiwa na Libert

Lulu naye bado yupo ndani kwa tuhuma za kumuua mwigizaji mwenzake Stiven Kanumba
Kajala na Wema

Kajala..... lakini hadi sasa bado anashikiriwa na polisi kwa tuhuma za fedha chafu

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi