Thursday, April 12, 2012

Zola D Mb Dog, waendelea kukimbiza German


Wanamuziki Zola D pamoja na Mb Dog, wameendelea kusababisha katika nchi za Ulaya, wanamuziki hao wamesema wamepania kufanya show kali kila siku na kila mahali watakapo kwenda,  "ASANTE FANS WOOTE WALIOKUJA KWENYE SHOW YA JUMA MOSI TH7, SHOW ILIKUA NOMA SANA WATU WALIKUJA WENGI SANA NA KWA NGUVU ZA ALLAH SHOW ILIKWENDA POA KILA MTU ALIKUWA NA FURAHA SANA SANKX TO ALL REAL FANS WETU WA STUTTIGART GERMANY ASANTENI SANA KWA SURPORT NAWATAKIA GOOD EASTER.." haya ndiyomaneno aliyosema ZolaD

 
 
 


Hebu angalia mambo waliyokuwa wakifanya..... Balaaaaa