Thursday, April 12, 2012

Wabunge kumsaidia Lulu

HALIMA MDEE KUMSAIDIA LULU Mbunge wa kawe/Chadema Halima mdee yeye pamoja Mbunge wa viti maalum Ester Bulaya (CCM) jana walienda kumuona Lulu, na kwa wakati huu Mh Halima Mdee kupitia mtandao wa Tweeter anaendesha kampeni ya Kuchangisha Pesa za malazi kwa ajili ya familia ya Lulu (mama yake). Mh.Halima mdee amesema kwamba lulu anahitaji mwanasheria makiniwa kuweza kumnasua kwenye kesi hiyo, lakini pia anahitaji mwana saikolojia (psychological support) wa kuzungumza nae ili aweze kuwa fresh kiakili. kwa wakati huu Lulu anashikiliwa katika kituo cha polisi Oysterbay SOMA POST ZAKE Halima J Mdee wenzangu. Leo mimi na mhe. Bulaya tulikwenda kumuona Lulu oysterbay polisi. She really needs our support. Kwanza she is only 17.. Pili anahitaji sana psychological support. Nawaomba watu wenye taaluma hiyo wasisite kwenda kumuona. wasiliana na 0714282527steve nyerere. Tatu anahitaji wanasheria makini wa kumsaidia. Kwa yeyote ambaye yuko tayari naomba awasiliane nami 0759569823.. Halima J Mdee @halimamdee Nne,at that tender agendio alikuwa anategemewa na familia yake. Now yuko ndani matatizo yamezidi kuwa makubwa. Kwa yeyote anayeguswa,naom ba atume chochote kwenye namba hii 0754878890 ni namba ya m pesa ya mama yake Tumsaidie huyu mtoto! Again ..Namba ya M -PESA kwa wanaotaka msaidia Binti yetu Lulu+2557548788 90.Ni namba ya mama yake SOMA ZAID KWENYE CHANZO@ SHAFFIH DAUDA.COM
 Lulu