| Wasanii wa Bongo Fleva ambao wanaunda kundi la Bongo Fleva Unity 'BFU' ambalokiongozi wake ni Mwana Fa na Saidi Fella huku likikusanya wasanii karibu wote ambao wanaimba muziki wa Bongo Fleva,kama hapo juu mnavyowaona katika timumoja, pamoja na wasanii wa Chama cha wasanii Tanzania 'TUMA' bado wapo kwenye ushindani mkali wa majadiliano baada ya wasanii ambao wengi wao waliunda kundi la Anti Virus kutaka ya nyuma si ndwele tugange ya yajayo kwa kuombana radhi. Lakini wasanii wa BFU wamedai kwamba hakuna kuombana radhi kwakuwa wao hawajawatukana wasanii hao, ila wao ndiyo waliotukananwa na kudhalilishwa. |
|
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi