Monday, March 19, 2012

Sanamu Bismin lapindishwa mtutu

Hali ambayo haikutarajiwa kwa Watanzania wengi, leo asubuhi lile  sanamu la Posta mpya karibu na Azania Benki inayojulikana kwa jina maarufu la  Bismin, imekutwa imepindwa ile sime iliyokuwepo mbele ya mtutu alioushika. Hakika kila mmoja alijikuta akishangaa kutokana na hali hiyo, kwa kujiuliza maswali ambayo yamekosa majibu kwamba mtu huyo alitaka kung'oa kisu afanye chuma chakavu? Ni mbovu wa akili huyo mtu? au alilitaka sanamu aondoke nalo kwao? lakini majibu hayajapatikana bado. Hali inaonyesha wazi hata kuzuia kuvunjwa kwa viti vya uwanja wa taifa,itakuwa kazi ngumu  kwakuwa elimu ya kutosha bado kwa watanzania wakiwemo na walinzi husika.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi